🔗 ⚙️

Nikuskize from Lukundo (Love) by Webi

Tracklist
4.Nikuskize3:35
Lyrics

NIKUSKIZE

UBETI
Mara kwa mara, wapendanao hukosana. Cha muhimu sio vita, ni kusameheana.
Kila siku, lazima kuwe sababu, lakini ninaona njia ya kuelewana (ya kuelewana)…

KIITIKIO
Nikuskize, uniskize
Nikupende, unipende
Nisamehe, na nikusamehe.

UBETI
Ana kwa ana, wapendanao waongee. Mambo yao yawe sawa, wakubaliane.
Kumbukeni kilichowafanya mpendane, mshikane mikono muinuane (muinuane).

KIITIKIO
Nikuskize, uniskize
Nikupende, unipende
Nisamehe, na nikusamehe.

DARAJA
Tutatofautiana, tena tutarudiana.
Turudiane tupendane, mpenzi.

Credits
from Lukundo (Love), released April 29, 2016
LicenseAll rights reserved.
Tags
Recommendations